ay anataraji kuelekea nchini nigeria ready kupiga collable na mtu mzima j martini mzee wa oyoyoo. ay amesema kazi nzima kuanzia beat, vocal mpaka mixing zitafanyika huko huko ila hermy b pia atachangia kidoooogo kama ikiwezekana. habari ndio hiyo
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment