"Naingiza album sokoni na kesho itakua mtaani, but mauzo yote ya album yanaenda kwa watoto yatima, mi sichukui hata shilingi ya mauzo ya album wao ndo watakua wana sign copy zitakozokua zinauzwa.
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment