Msanii wa bongo fleva anayejulikana kwa jina la Godzilla King of Salasala ameanzisha lebo yake inayokwenda kwa jina la Godzilla Inc! Zilla amesema lebo hiyo itakuwainasupport wanao chana lakini hawajapata nafasi bado! d doesn't matter where you from as long as una kipaji unaingia studio na nasupply mzigo! jipange.
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment