Thursday, September 16, 2010

NAKAYA AJITOA CHAMA CHA CHADEMA


MSANII MAARUFU WA BONGO FLEVA NAKAAYA ALIYE JIINGIZA KATIKA SIASA AMERUDISHA KADI YAKE YA CHADEMA NA AMEINGIA CCM LEO........
NAKAAYA AMERUDISHA KADI HIYO KWENYE KAMPENI YA JAKAYA KIKWETE ILIYOFANYIKA LEO HII PALE ARUSHA.
Share/Save/Bookmark

No comments:

Post a Comment

 

.