Mr Blue alikaririwa akisema kuwa ameamua kurudi darasani kusoma kizungu baada ya kubaini kuwa muziki wake haufiki katika anga za kimataifa kutokana na kushindwa kuimba kwa lugha zinazoeleweka kimataifa. “Nguzo muhimu ya kufika huko ni kujaribu kuimba kwa lugha za kimataifa ambazo zinaeleweka nje ya mipaka ya Tanzania,” alitonya Blue....je ni kweli?
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment