Msanii Moracka anaandaa video yake ya wimbo wake mpya unaoitwa SHE GOT IT ambao amemshirikia mwanadafada DIVA. Moracka ameniambia video hiyo inafanywa na kampuni ya Kallage's Picture.
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment