Aisee, sasa hawa ndio kinadada tunaotaka kuwaona kwenye mamet,Nivizuri kuona mabinti kama hawa ili vijana wetu wafuante mienendo yao. Nimependa kazi yake.
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
Namkubali huyu demu, Kazi anaijua...
ReplyDeleteOprah winfrey wa bongo Hapa tunajivunia
Aisee nimependa, kumbe kuna wabongo wanafanya mambo mazuri ivi nchi za watu; bwana hii nzuri weka video nyingi basi tuone its very interesting.
ReplyDeleteNi MBongo huyu dada? kuuliza sio ujinga Kaka? Nimependa tu kazi yake.
ReplyDeleteyap ni mtanzania ...once i come across with another clip of her show i will publish it
ReplyDeleteAisee, sasa hawa ndio kinadada tunaotaka kuwaona kwenye mamet,Nivizuri kuona mabinti kama hawa ili vijana wetu wafuante mienendo yao. Nimependa kazi yake.
ReplyDelete