Monday, January 18, 2010

TAMASHA LA ELIMIKA NA BONGO FLEVA LAFANIKIWA


tamasha la elimika na bongo fleva limefanyika jumamosi na jumapili wiki iliyopita ndani ya nkuruma hall chuo kikuu cha dar-es-salaam, wasanii kibao walikutana na kutoa dukuduku zao pamoja na kufanya maonyesho ya kazi zao ikiwa ni pamoja na t shirts, albam zao na vinginevyo.
Share/Save/Bookmark

No comments:

Post a Comment

 

.