Jamani nani anajua alipo Sogy dogy? tunamuona kwenye facebook tu ,inaonekana mambo yake safi huko alipo ,kwani hata mavazi siku hizi ni ya kiofisi...safi sana ....where are you brother we miss u kwenye music .....
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment