Show ilifanyika kwenye viwanja vya KICC hapa Nairobi....ilikwenda kwa jina la safaricom faceoff,Kwa ajili ya kuzindua huduma ya face book kwenye mtandao wa safari com,kulikua na perfomance all thru the day,Zawadi,,,,na mashindano ya hapa na pale
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment