producer na director mpya wa Bongo flava. Jina ni Ashraff Maundi yupo chini ya Waya mkali Entertainment ambayo inamiliki Maundi Bros Audio na video production. Hii ndo ngoma yake ya kwanza inaitwa "Unanidatisha". Video na audio production zote zimefanywa chini na Ashraff Maundi.
I love music ....hasa bongo flava , hii blog ni kwa ajili ya bongo flava news tu...we mdau wa huu muziki kama unahabari kuhusu muziki huu nitumie kwenye e-mail : cybernizo@yahoo.com
No comments:
Post a Comment