Friday, January 8, 2010

FID Q THE FUTURE....muhimili wa bongo hip hop



Fid Q says "Mwafrika hujihisi yuko peponi kwa kuishi London au New Yooork/ wengi wanaishi kiujanjajanja anayewakosea hawamsue yo/ wabongo hawapendi kulala tatizo ni wavivu wa kuamka/ kuteleza sio kuanguka mbaya ukishindwa kuamka/ Maisha ni kama mkono wa Birika hupinda bila kuinama/ Kinyonga hubadilika lakini hawezi kuchutama/ whutchu think I rap for?/ niendeshe 504?/Nawh"
Share/Save/Bookmark

No comments:

Post a Comment

 

.