
msanii AT kwa hivi sasa ame halla kuwa tayari kashakamilisha album yake inaitwa NIPIGIE na karibuni itaingia sokoni. AT amesema katika album hiyo amewashirikisha wasanii kibao kutoka Kenya na Uganda.

AT KUIDONDOSHA NIPIGIE ALBUM
2010 Bongo Flavour Music News All Rights Reserved. Blogger Template created by Deluxe Templates
No comments:
Post a Comment