Thursday, April 22, 2010

Lady Jay Dee na Mwamba Waandaa kazi ya pamoja


Jumanne ya April 21, ilikuwa zamu ya Mwamba wa Kaskazini Joe Makini na Lady J dee kuandaa wimbo kwa pamoja ,Katika wimbo huu pia imo sauti ya G-Nako wa Nako 2 Nako Soldiers,Kazi imefanyika Bongo Records chini ya P-Funk Majani...stay tuned
Share/Save/Bookmark

No comments:

Post a Comment

 

.